-
(0)By : Ali Attas
Ndoto za Juma na Bintiheri
KSh300.00Juma na Bintiheri, ambao ni binamu, wanafunga safari ya Mbuga ya Wanyama ya Tsavo West na Mzima Springs pamoja na wazazi wao. Wanayoshuhudia na kujifunza katika ziara hiyo yanachochea ndoto zao kuhusu kutunza mazingira na kuishi vyema na wanyama wa porini. Pia, yanawafunulia kichemshabongo walichopewa shuleni na mwalimu Kibahaluli. Je, watapata majibu sahihi ya kichemshabongo hicho na kuibuka wanafunzi bora shuleni kwa ubunifu? Jiunge na Juma na Bintiheri katika safari hii ya kiuhalisia na kifantasia iliyojaa vitushi, patashika, mafunzo na vichekesho kwa kusoma hadithi hii ya kusisimua.
-
-
(0)By : Ali Attas
Sakata za Juma na Bintiheri
KSh325.00Juma na Bintiheri, ambao ni binamu, pamoja na rafiki yao Lulu wanapofanya utafiti kuhusu kazi waliyopewa shuleni, wanavumbua njia kadhaa za kujipatia mapato. Je, wazazi na walimu wao watakubali na kuwekeza katika uvumbuzi wao?
-
(0)By : Orpha Ramogi
Wakulima Chipukizi na Hadithi Nyingine
KSh300.00Huu ni mkusanyiko wa hadithi fupi fupi zenye matukio ya kuelimisha na kusisimua. Zinajumuisha wahusika chipukizi wanaotumia ujuzi na umilisi waliojifunza darasani pamoja na vipawa vyao kutatua changamoto mbalimbali na kuleta mabadiliko mazuri katika jamii.
-
(0)By : Joe Mirungu
Kitendawili cha Taji na Hadithi Nyingine
KSh300.00Taji na Zalika ni watoto wanaopenda kutunza mazingira yao na kudadisi mambo. Wanashiriki katika visa tofauti tofauti vya kusisimua vinavyowawezesha kutambua na kujifunza mengi kuhusu wanyama na mimea mbalimbali.
-
(0)By : Elijah Sabakaki
The Broken Promise and Other Stories
KSh300.00Kibe always find himself between a rock and a hard place. To find his way out, he must apply skills from the subject he fears most—Art and Craft. Kamaria, who loves Art and Craft, often comes to his rescue. For how long will Kibe rely on Kamaria for help?
-
(0)By : Hillary Ihaji
Balozi in Trouble Again
KSh300.00Balozi always want to impress his friends. This puts him in trouble every time. He uses his creativity and imagination skills to get out of trouble and to prove himself to his peers. Read these three captivating short stories to find out how he tackles the different challenges he encounters.
-
(0)By : Hillary Ihaji
My Secret and Other Stories
KSh300.00Have you ever imagined living in a place where you are not allowed to eat, sleep, play, make friends or go to school? How does it feel to live in such a place? In this collection of short interesting stories, you will interact with children living in such a world and how they feel and cope.
-
(0)By : Vivian Sharon
Grandma is Sick
KSh275.00Musembei and Anna visit their grandmother in the village. They find her sick. She complains of pain in the stomach that keeps coming back. Their uncle complains of the same pain. Their home is clean. They also maintain a high level of personal hygiene. What could be the cause of the constant stomach aches? Musembei and Anna want to find out.
-
(0)By : Janet Kiritu
Imani’s Adventure in the Village
KSh275.00Imani likes exploring his environment. He wonders where food they eat in the city comes from. He visits the village for the first time to find out for himself. Join Imani in his interesting adventure!
-
-
-
(0)By : Ali Attas
Masaibu ya Juma na Bintiheri
KSh325.00Mapumziko ya Agosti yanakaribia. Mwalimu Kibahaluli anawaambia wanafunzi wake kuwa wazazi wao wamewaandalia ziara ya kukata na shoka. Ziara hiyo haitakuwa ya kiburudani tu bali pia itawafaa katika kupata majibu ya chemshabongo atakayowapa. Juma, Bintiheri na wanafunzi wenzao wanasubiri likizo ya Agosti kwa hamu na ghamu. Je, Mwalimu Kibahaluli atawapa chemshabongo gani mara hii? Je, safari hiyo itawapeleka wapi?
-
(0)By : Nicholas Ogal
Mashujaa wa Mazingira
KSh325.00Mazingira yamejaa aina mbalimbali za taka. Baadhi ya watu wanapata ajali zinazotokana na taka hizi kama vile kukatwa na chupa. Jerry, Tinda na wenzao wanatafuta suluhisho. Je, watafanya nini?
















