Made Familiar

Made Familiar
  • Kindergarten
    • Play Group
    • Pre-Primary 1
    • Pre-Primary 2
  • Primary
    • Grade 1
    • Grade 2
    • Grade 3
    • Grade 4
    • Grade 5
    • Grade 6
  • Junior School
    • Grade 7
    • Grade 8
    • Grade 9
  • Secondary
  • Review
  • Blog

Sign in

Create An Account
Lost your password?
0
Close
Shopping Cart(0)
  • No products in the cart. GO TO SHOP
  • Bulk Orders
  • Checkout
  • Wishlist
  • About Us
My Account
Wishlist
Made Familiar
0
Close
Shopping Cart(0)
  • No products in the cart. GO TO SHOP
Made Familiar
Category
  • All Category
  • CBC Novellas
  • Junior School
  • Grade 6
  • Grade 7
  • Grade 8
  • Grade 9
  • Kindergarten
  • Play Group
  • Pre-Primary 1
  • Pre-Primary 2
  • Language
  • English
  • Swahili
  • Primary
  • Grade 1
  • Grade-2
  • Grade 3
  • Grade 4
  • Grade 5
  • Readers
  • Revision Books
  • Secondary
  • CBC Story Books
  • Workbooks
Find Us
0
Close
Shopping Cart(0)
  • No products in the cart. GO TO SHOP

All Departments

  • Workbooks
  • Revision Books
  • Guide Books
  • Kindergarten
    • Play Group
    • Pre-Primary 1
    • Pre-Primary 2
  • Primary
    • Grade 1
    • Grade 2
    • Grade 3
    • Grade 4
    • Grade 5
    • Grade 6
  • Junior School
    • Grade 7
    • Grade 8
    • Grade 9
  • Secondary
  • Review
  • Blog
Books available countrywide in all major bookshops.
HomePrimary
banner category
Internalise Concepts & Optimise Potential
Every Student’s Companion
Shop now
Close

Publication Year

2009

2011

2013

Levels

Kindergarten

Primary

Junior School

Secondary (8-4-4)

Categories

  • All Categories
  • Primary (36)
  • Grade 1 (6)
  • Grade-2 (6)
  • Grade 3 (7)
  • Grade 4 (11)
  • Grade 5 (11)

Price

Range : KSh225 - KSh750

Level

Brands

Ratings

  • (0)
  • (0)
  • (0)
  • (0)
  • (0)

Showing 1–16 of 36 item(s)
Default sorting
  • Default sorting
  • Sort by popularity
  • Sort by latest
  • Sort by price: low to high
  • Sort by price: high to low
Show
16
  • 16
  • 32
  • 48
  • Add to cart
    Quick View
    (0)
    By : Hellen W. Mugo

    K.P.S.E.A MADE FAMILIAR – KISWAHILI

    KSh750.00
  • Add to cart
    Quick View
    (0)
    By : Caroline Njenga

    K.P.S.E.A MADE FAMILIAR – MATHEMATICS

    KSh650.00
  • Add to cart
    Quick View
    (0)
    By : Miriam KamauMwangi Gituku G

    K.P.S.E.A MADE FAMILIAR – INTEGRATED SCIENCE

    KSh650.00
  • Add to cart
    Quick View
    (0)
    By : Aurelia C. KhachulaGabriel WakubuMary KamiriMichael Isenge

    K.P.S.E.A MADE FAMILIAR – CREATIVE ARTS

    KSh650.00
  • Add to cart
    Quick View
    (0)
    By : Joan Kiarie

    K.P.S.E.A MADE FAMILIAR – CRE

    KSh550.00
  • Add to cart
    Quick View
    (0)
    By : Ali Attas

    Masaibu ya Juma na Bintiheri

    Mapumziko ya Agosti yanakaribia. Mwalimu Kibahaluli anawaambia wanafunzi wake kuwa wazazi wao wamewaandalia ziara ya kukata na shoka. Ziara hiyo haitakuwa ya kiburudani tu bali pia itawafaa katika kupata majibu ya chemshabongo atakayowapa. Juma, Bintiheri na wanafunzi wenzao wanasubiri likizo ya Agosti kwa hamu na ghamu. Je, Mwalimu Kibahaluli atawapa chemshabongo gani mara hii? Je, safari hiyo itawapeleka wapi?

    KSh325.00
  • Add to cart
    Quick View
    (0)
    By : Nicholas Ogal

    Mashujaa wa Mazingira

    Mazingira yamejaa aina mbalimbali za taka. Baadhi ya watu wanapata ajali zinazotokana na taka hizi kama vile kukatwa na chupa. Jerry, Tinda na wenzao wanatafuta suluhisho. Je, watafanya nini?

    KSh325.00
  • Add to cart
    Quick View
    (0)
    By : Ali Attas

    Sakata za Juma na Bintiheri

    Juma na Bintiheri, ambao ni binamu, pamoja na rafiki yao Lulu wanapofanya utafiti kuhusu kazi waliyopewa shuleni, wanavumbua njia kadhaa za kujipatia mapato. Je, wazazi na walimu wao watakubali na kuwekeza katika uvumbuzi wao?

    KSh325.00
  • Add to cart
    Quick View
    (0)
    By : Orpha Ramogi

    Wakulima Chipukizi na Hadithi Nyingine

    Huu ni mkusanyiko wa hadithi fupi fupi zenye matukio ya kuelimisha na kusisimua. Zinajumuisha wahusika chipukizi wanaotumia ujuzi na umilisi waliojifunza darasani pamoja na vipawa vyao kutatua changamoto mbalimbali na kuleta mabadiliko mazuri katika jamii.

    KSh300.00
  • Add to cart
    Quick View
    (0)
    By : Joe Mirungu

    Kitendawili cha Taji na Hadithi Nyingine

    Taji na Zalika ni watoto wanaopenda kutunza mazingira yao na kudadisi mambo. Wanashiriki katika visa tofauti tofauti vya kusisimua vinavyowawezesha kutambua na kujifunza mengi kuhusu wanyama na mimea mbalimbali.

    KSh300.00
  • Add to cart
    Quick View
    (0)
    By : Ali Attas

    Ndoto za Juma na Bintiheri

    Juma na Bintiheri, ambao ni binamu, wanafunga safari ya Mbuga ya Wanyama ya Tsavo West na Mzima Springs pamoja na wazazi wao. Wanayoshuhudia na kujifunza katika ziara hiyo yanachochea ndoto zao kuhusu kutunza mazingira na kuishi vyema na wanyama wa porini. Pia, yanawafunulia kichemshabongo walichopewa shuleni na mwalimu Kibahaluli. Je, watapata majibu sahihi ya kichemshabongo hicho na kuibuka wanafunzi bora shuleni kwa ubunifu? Jiunge na Juma na Bintiheri katika safari hii ya kiuhalisia na kifantasia iliyojaa vitushi, patashika, mafunzo na vichekesho kwa kusoma hadithi hii ya kusisimua.

    KSh300.00
  • Add to cart
    Quick View
    (0)
    By : Emmanuel Munasi

    Maandazi ya Haiba

    Haiba na marafiki zake wanataka kumnunulia Baraka zawadi anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa. Baraka anaishi na nyanya yake ambaye anaugua. Hata hivyo, kina Haiba hawana pesa za kumnunulia Baraka keki na zawadi nyinginezo. Kwa kuwa likizo imeanza, wanaamua kutafuta njia ya kupata pesa. Je, watatumia mbinu gani? Je, wataweza kupata pesa za kutosha kumnunulia Baraka keki na zawadi nyinginezo?

    KSh275.00
  • Add to cart
    Quick View
    (0)
    By : Zawadi Namukhula

    Miembe ya Ajabu

    Toma ananunua miche ya miembe. Bela hapendi miembe hiyo lakini Toma anaipanda. Toma anatunza miembe yake vizuri lakini miembe haikui. Mama na Baba wanasema miembe hiyo si ya kawaida. Je, ni miembe ya aina gani?

    KSh275.00
  • Add to cart
    Quick View
    (0)
    By : Jackson Omondi

    Pango la Ajabu

    Zuheri anaanguka pangoni anapocheza mwajificho na wenzake. Baba anapoingia ndani ya pango kumwokoa, anapata kisanduku. Baadaye inatangazwa redioni kuwa polisi wanatafuta kisanduku kilichopotea. Ndani yake mna vitu vya thamani. Je, wazazi wa Zuheri watakabidhi polisi kisanduku kile?

    KSh275.00
  • Add to cart
    Quick View
    (0)
    By : Victor Olum

    Siku yenye Vituko

    Taji na Furaha wana furaha. Familia yao inaenda safarini pamoja. Je, watashuhudia mambo gani njiani? Jiunge na familia ya kina Taji na Furaha katika safari yao fupi ya kupendeza.

    KSh250.00
  • Add to cart
    Quick View
    (0)
    By : Daniel Mwangi

    Maria Taabani

    Maria ana mazoea ya kulala hadi Mama amwamshe. Maria pia husahau kufanya kazi zake za shule hadi Mama amkumbushe. Mama anaenda safari ya mbali. Chacha ambaye ni kakake Maria anataka kumfunza Maria adabu kwa kukosa kumtii. Je, Maria atafanya nini ili asijipate taabani?

    KSh250.00
Need Help?
  • Help Center
  • Delivery FAQs
  • Returns Policy
  • Publish with us
  • Catalogue
  • Write a Review
ABOUT US
  • Who we are
  • Our History
  • Contact us
  • Credit Application
  • Careers

More from us

  • Teacher Forums
  • Parent Forums
  • Blog
  • Donate Books
  • Apply for Donation
OUR NEWSLETTER

Sign up for our latest news, offers and new edition announcements

    • Terms of Use
    • Copyright & Trademark
    • Policy

    © 2026 StarShine Student Centre. All Rights Reserved

    what are you looking for?

    close