• (0)

    Lela Saves Her Village

    Lela and Adili live in a village surrounded by forests and wild animals. They enjoy watching the butterflies and birds until a rich man visits the village. He wants to turn part of the village and forest into a private property. Everyone is in despair, but Lela and Adili decide to fight for their cause. With the help of their teacher, the children create persuasive messages on the need to protect the forest which they hope will reach the Governor and the President. Just how far can they go?

    KSh275.00
  • (0)

    Maandazi ya Haiba

    Haiba na marafiki zake wanataka kumnunulia Baraka zawadi anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa. Baraka anaishi na nyanya yake ambaye anaugua. Hata hivyo, kina Haiba hawana pesa za kumnunulia Baraka keki na zawadi nyinginezo. Kwa kuwa likizo imeanza, wanaamua kutafuta njia ya kupata pesa. Je, watatumia mbinu gani? Je, wataweza kupata pesa za kutosha kumnunulia Baraka keki na zawadi nyinginezo?

    KSh275.00
  • (0)

    Maria Taabani

    Maria ana mazoea ya kulala hadi Mama amwamshe. Maria pia husahau kufanya kazi zake za shule hadi Mama amkumbushe. Mama anaenda safari ya mbali. Chacha ambaye ni kakake Maria anataka kumfunza Maria adabu kwa kukosa kumtii. Je, Maria atafanya nini ili asijipate taabani?

    KSh250.00
  • (0)

    Masaibu ya Juma na Bintiheri

    Mapumziko ya Agosti yanakaribia. Mwalimu Kibahaluli anawaambia wanafunzi wake kuwa wazazi wao wamewaandalia ziara ya kukata na shoka. Ziara hiyo haitakuwa ya kiburudani tu bali pia itawafaa katika kupata majibu ya chemshabongo atakayowapa. Juma, Bintiheri na wanafunzi wenzao wanasubiri likizo ya Agosti kwa hamu na ghamu. Je, Mwalimu Kibahaluli atawapa chemshabongo gani mara hii? Je, safari hiyo itawapeleka wapi?

    KSh325.00
  • (0)

    Mashujaa wa Mazingira

    Mazingira yamejaa aina mbalimbali za taka. Baadhi ya watu wanapata ajali zinazotokana na taka hizi kama vile kukatwa na chupa. Jerry, Tinda na wenzao wanatafuta suluhisho. Je, watafanya nini?

    KSh325.00
  • (0)

    Mbingu ina Rangi Gani?

    Zawadi na Bahati wanapenda kutazama anga. Wanashangaa jinsi rangi ya angani inavyobadilika. Mara ni nyeusi. Mara ina upinde wenye rangi nyingi. Je, mbingu ina rangi gani?

    KSh225.00
  • (0)

    Miembe ya Ajabu

    Toma ananunua miche ya miembe. Bela hapendi miembe hiyo lakini Toma anaipanda. Toma anatunza miembe yake vizuri lakini miembe haikui. Mama na Baba wanasema miembe hiyo si ya kawaida. Je, ni miembe ya aina gani?

    KSh275.00
  • (0)

    My Secret and Other Stories

    Have you ever imagined living in a place where you are not allowed to eat, sleep, play, make friends or go to school? How does it feel to live in such a place? In this collection of short interesting stories, you will interact with children living in such a world and how they feel and cope.

    KSh300.00
  • (0)

    Nadia Breaks her Promise

    Nadia likes eating. She likes attending birthday parties to eat. Jeff, his elder brother, has been invited to a birthday party. Nadia wants to go with him. Jeff gives her a condition: she should not eat anything until he tells her so. Will Nadia keep the promise?

    KSh250.00
  • (0)

    Ndoto za Juma na Bintiheri

    Juma na Bintiheri, ambao ni binamu, wanafunga safari ya Mbuga ya Wanyama ya Tsavo West na Mzima Springs pamoja na wazazi wao. Wanayoshuhudia na kujifunza katika ziara hiyo yanachochea ndoto zao kuhusu kutunza mazingira na kuishi vyema na wanyama wa porini. Pia, yanawafunulia kichemshabongo walichopewa shuleni na mwalimu Kibahaluli. Je, watapata majibu sahihi ya kichemshabongo hicho na kuibuka wanafunzi bora shuleni kwa ubunifu? Jiunge na Juma na Bintiheri katika safari hii ya kiuhalisia na kifantasia iliyojaa vitushi, patashika, mafunzo na vichekesho kwa kusoma hadithi hii ya kusisimua.

    KSh300.00
  • (0)

    Pango la Ajabu

    Zuheri anaanguka pangoni anapocheza mwajificho na wenzake. Baba anapoingia ndani ya pango kumwokoa, anapata kisanduku. Baadaye inatangazwa redioni kuwa polisi wanatafuta kisanduku kilichopotea. Ndani yake mna vitu vya thamani. Je, wazazi wa Zuheri watakabidhi polisi kisanduku kile?

    KSh275.00
  • (0)

    Sakata za Juma na Bintiheri

    Juma na Bintiheri, ambao ni binamu, pamoja na rafiki yao Lulu wanapofanya utafiti kuhusu kazi waliyopewa shuleni, wanavumbua njia kadhaa za kujipatia mapato. Je, wazazi na walimu wao watakubali na kuwekeza katika uvumbuzi wao?

    KSh325.00
  • (0)

    Siku yenye Vituko

    Taji na Furaha wana furaha. Familia yao inaenda safarini pamoja. Je, watashuhudia mambo gani njiani? Jiunge na familia ya kina Taji na Furaha katika safari yao fupi ya kupendeza.

    KSh250.00
  • (0)

    The Broken Promise and Other Stories

    Kibe always find himself between a rock and a hard place. To find his way out, he must apply skills from the subject he fears most—Art and Craft. Kamaria, who loves Art and Craft, often comes to his rescue. For how long will Kibe rely on Kamaria for help?

    KSh300.00
  • (0)

    The Dancing Doll

    Pendo likes to dance. She performs folks dance with friends at school but dances alone at home. She wishes that she could get a friend to dance with while at home. Her father answers her wish by giving her a big doll as a gift. Can a doll dance? How will it become Pendo’s dancing friend?

    KSh250.00
  • (0)

    Tito Anatamani Kuchora

    Tito hana vidole. Hata hivyo, ana ndoto ya kufanya kazi ya kuchora na kupaka rangi kama wazazi wake. Siku moja, mwalimu anawaambia wachore wanyama wapendao. Je, Tito atawezaje kuchora bila vidole?

    KSh225.00