- 
	(0)By : Fred WanyonyiA Trip to Hazina ParkKSh250.00Father wants to take Niva and Nani to the park. Niva wakes up late. Nani has dark patches on his head. What will happen to their trip? 
- 
	(0)By : Magdalyne ShinabuliNadia Breaks her PromiseKSh250.00Nadia likes eating. She likes attending birthday parties to eat. Jeff, his elder brother, has been invited to a birthday party. Nadia wants to go with him. Jeff gives her a condition: she should not eat anything until he tells her so. Will Nadia keep the promise? 
- 
	(0)By : Daniel MwangiAli Apigania Haki YakeKSh250.00Ali, mvulana mwenye umri wa miaka kumi, anatamani kusoma hadi chuo kikuu. Hata hivyo, nyanya yake anamwagiza kumchungia mbuzi badala ya kwenda shuleni. Ali anabuni mbinu za kurejea shuleni na wakati huo huo kuendelea kumsaidia nyanya yake. Je, juhudi zake zitazaa matunda? 
- 
	(0)By : Daniel MwangiMaria TaabaniKSh250.00Maria ana mazoea ya kulala hadi Mama amwamshe. Maria pia husahau kufanya kazi zake za shule hadi Mama amkumbushe. Mama anaenda safari ya mbali. Chacha ambaye ni kakake Maria anataka kumfunza Maria adabu kwa kukosa kumtii. Je, Maria atafanya nini ili asijipate taabani? 
- 
	(0)By : Victor OlumSiku yenye VitukoKSh250.00Taji na Furaha wana furaha. Familia yao inaenda safarini pamoja. Je, watashuhudia mambo gani njiani? Jiunge na familia ya kina Taji na Furaha katika safari yao fupi ya kupendeza. 
 
							




