-
(0)By : Ali Attas
Masaibu ya Juma na Bintiheri
Mapumziko ya Agosti yanakaribia. Mwalimu Kibahaluli anawaambia wanafunzi wake kuwa wazazi wao wamewaandalia ziara ya kukata na shoka. Ziara hiyo haitakuwa ya kiburudani tu bali pia itawafaa katika kupata majibu ya chemshabongo atakayowapa. Juma, Bintiheri na wanafunzi wenzao wanasubiri likizo ya Agosti kwa hamu na ghamu. Je, Mwalimu Kibahaluli atawapa chemshabongo gani mara hii? Je, safari hiyo itawapeleka wapi?
-
(0)By : Nicholas Ogal
Mashujaa wa Mazingira
Mazingira yamejaa aina mbalimbali za taka. Baadhi ya watu wanapata ajali zinazotokana na taka hizi kama vile kukatwa na chupa. Jerry, Tinda na wenzao wanatafuta suluhisho. Je, watafanya nini?
-
(0)By : Emmanuel Munasi
Maandazi ya Haiba
Haiba na marafiki zake wanataka kumnunulia Baraka zawadi anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa. Baraka anaishi na nyanya yake ambaye anaugua. Hata hivyo, kina Haiba hawana pesa za kumnunulia Baraka keki na zawadi nyinginezo. Kwa kuwa likizo imeanza, wanaamua kutafuta njia ya kupata pesa. Je, watatumia mbinu gani? Je, wataweza kupata pesa za kutosha kumnunulia Baraka keki na zawadi nyinginezo?
-
(0)By : Zawadi Namukhula
Miembe ya Ajabu
Toma ananunua miche ya miembe. Bela hapendi miembe hiyo lakini Toma anaipanda. Toma anatunza miembe yake vizuri lakini miembe haikui. Mama na Baba wanasema miembe hiyo si ya kawaida. Je, ni miembe ya aina gani?
-
(0)By : Jackson Omondi
Pango la Ajabu
Zuheri anaanguka pangoni anapocheza mwajificho na wenzake. Baba anapoingia ndani ya pango kumwokoa, anapata kisanduku. Baadaye inatangazwa redioni kuwa polisi wanatafuta kisanduku kilichopotea. Ndani yake mna vitu vya thamani. Je, wazazi wa Zuheri watakabidhi polisi kisanduku kile?
-
(0)By : Daniel Mwangi
Maria Taabani
Maria ana mazoea ya kulala hadi Mama amwamshe. Maria pia husahau kufanya kazi zake za shule hadi Mama amkumbushe. Mama anaenda safari ya mbali. Chacha ambaye ni kakake Maria anataka kumfunza Maria adabu kwa kukosa kumtii. Je, Maria atafanya nini ili asijipate taabani?
-
(0)By : Daniel Mwangi
Ali Apigania Haki Yake
Ali, mvulana mwenye umri wa miaka kumi, anatamani kusoma hadi chuo kikuu. Hata hivyo, nyanya yake anamwagiza kumchungia mbuzi badala ya kwenda shuleni. Ali anabuni mbinu za kurejea shuleni na wakati huo huo kuendelea kumsaidia nyanya yake. Je, juhudi zake zitazaa matunda?
-
(0)By : Jackson Omondi
Tito Anatamani Kuchora
Tito hana vidole. Hata hivyo, ana ndoto ya kufanya kazi ya kuchora na kupaka rangi kama wazazi wake. Siku moja, mwalimu anawaambia wachore wanyama wapendao. Je, Tito atawezaje kuchora bila vidole?
-
(0)By : Zawadi Namukhula
Dereva wa gari Jekundu
Toma na Bella wanataka kwenda shuleni. Wanaona gari jekundu karibu na nyumbani kwao. Dereva wa gari hilo anajitolea kuwapeleka shuleni. Je, dereva ana nia gani? Je, Toma na Bella watakubali awapeleke shuleni?
-
(0)By : Michael Oluoch
Curiosity Killed the Cat and Other Stories
Okudili and Pendo are classmates. Pendo is impatient while Okudili is curious. He likes searching for new information and asking adults questions to stay informed. He seems to have every answer for every question that his peers throw at him until one day when Maria asks him how it feels when one smokes. Okudili does not have an answer. His curiosity and Pendo’s impatience land them in trouble. How will they get out of the mess?
-
(0)By : Emma Laybourn
Who is the Champion?
“I am the champion! Nobody can beat me!” 5 chanted Lisa. She danced down the road holding the silver trophy high in the air. It was as big as her head. And it had her name on it… But there is a catch. Her brother, Jimi, claims the same victory and wants the trophy. Who is the real champion between the two siblings?
-
(0)By : Vivian Sharon
Faceless Friends
Musembei and Diana have made friends on social media but they do not tell their parents or guardians. Some of the friends have profile pictures of famous people they see on TV. After chatting for a while, Musembei and Diana start trusting their new friends who seem to be caring and understanding. The friends even offer to buy them nice things. But there is a catch; they want Musembei and Diana to fulfill a deal before they receive their gifts…
-
(0)By : Vivian Sharon
Grandma is Sick
Musembei and Anna visit their grandmother in the village. They find her sick. She complains of pain in the stomach that keeps coming back. Their uncle complains of the same pain. Their home is clean. They also maintain a high level of personal hygiene. What could be the cause of the constant stomach aches? Musembei and Anna want to find out.
-
(0)By : Janet Kiritu
Imani’s Adventure in the Village
Imani likes exploring his environment. He wonders where food they eat in the city comes from. He visits the village for the first time to find out for himself. Join Imani in his interesting adventure!
-
(0)By : Zawadi Namukhula
A Gift to Grandfather
Maya and her brother Kirui visit their grandfather. They find him using a stick cut from a tree branch to support himself. Maya thinks that the stick is too weak but Kirui and grandfather believe that the stick is just okay. Maya is not satisfied. She thinks her grandfather deserves a brand new crutch. How will she raise the money to buy one?
-
(0)By : Elijah Sabakaki
Lela Saves Her Village
Lela and Adili live in a village surrounded by forests and wild animals. They enjoy watching the butterflies and birds until a rich man visits the village. He wants to turn part of the village and forest into a private property. Everyone is in despair, but Lela and Adili decide to fight for their cause. With the help of their teacher, the children create persuasive messages on the need to protect the forest which they hope will reach the Governor and the President. Just how far can they go?