• (0)

    K.C.S.E Made Familiar – GEOGRAPHY

    This Kenya Certificate of Secondary Education (K.C.S.E.) Made Familiar workbook is designed to help students familiarize themselves with K.C.S.E. Geography questions – both Paper 1 and Paper

    2. The work book covers Geography questions that have been tested from 2000 to date.

    The questions have been arranged in topics and in their respective forms in which they are taught. Some topics are introduced in one form and are advanced in another, for example, Map work and Statistical Methods. The questions are in their original form, that is, as they appeared in K.C.S.E. paper. Beneath every question, the following have been clearly indicated:

    • Marks carried by the question
    • Year tested
    • Paper tested in, and
    • Number in the paper.

    This information will help the students identify topics that are frequently tested and the various ways in which concepts in these topics are tested.

    The answers to the questions have been presented immediately after each paper for easier reference.

    KSh735.00
  • (0)

    K.C.S.E Made Familiar – KISWAHILI

    Kitabu hiki cha Mazoezi ya Insha na Lugha cha Kenya Certificate of Secondary Education

    (K.C.S.E.) kimeandaliwa ili kuwafahamisha wanafunzi na maswali ya Kiswahili ya K.C.S.E. karatasi ya 1 a 2. Kitabu hiki kina maswali ya insha na lugha ya K.C.S.E. yaliyotahiniwa kutoka mwaka wa 2000 maka mwaka huu.

    Masomo ya Kiswahili yamegawanywa katika karatasi tatu ambazo zimepewa nambari za kuzitambulisha kama:

    • 102/1   (Insha)            –                            Hutahiniwa juu ya alama 40
    • 102/2.  (Lugha)          –                            Hutahiniwa juu ya alama 80
    • 102/3.   (Fasihi ya Kiswahili) –             Hutahiniwa juu ya alama 80

    Tanbihi: Awali, kabla ya mwaka wa 2001 somo la Kiswahili lilikuwa limegawanywa katika karatasi tatu ambazo zilikuwa 102/1A (Insha), 102/1B (Lugha) a 102/2 (Fasihi); jambo hili litadhihirika katika karatasi za mitihani ya mwaka wa 2000.

    Maswali yote katika kitabu hiki yako katika hali yao asili (halisi) yaani kama yalivyotokea katika karatasi ya mtihani wa K.C.S.E. Chini au kando ya kila swali, mambo yafuatayo yameonyeshwa waziwazi:

    • Alama zilizokuwa zikituzwa katika kila swali
    • Mwaka wa tahini.

    Mpangilio huu utawasaidia wanafunzi kutambua mada ambazo hutahiniwa mara kwa mara na njia mbalimbali ambazo kwazo dhana katika hizo mada hutahiniwa. Majibu ya maswali yametolewa nyuma ya kitabu hiki na yameandikwa kwa ukamilifu kama yanavyopaswa kuandikwa ili yaridhishe matakwa ya mtihani wa K.C.S.E.

    Maelezo na maelekezo yametolewa baada ya baadhi ya majibu ili kumwonyesha mtahiniwa jinsi ya kufikia majibu yanayokubalika.

    KSh735.00
  • (0)

    Masaibu ya Juma na Bintiheri

    Mapumziko ya Agosti yanakaribia. Mwalimu Kibahaluli anawaambia wanafunzi wake kuwa wazazi wao wamewaandalia ziara ya kukata na shoka. Ziara hiyo haitakuwa ya kiburudani tu bali pia itawafaa katika kupata majibu ya chemshabongo atakayowapa. Juma, Bintiheri na wanafunzi wenzao wanasubiri likizo ya Agosti kwa hamu na ghamu. Je, Mwalimu Kibahaluli atawapa chemshabongo gani mara hii? Je, safari hiyo itawapeleka wapi?

    KSh325.00
  • (0)

    Mashujaa wa Mazingira

    Mazingira yamejaa aina mbalimbali za taka. Baadhi ya watu wanapata ajali zinazotokana na taka hizi kama vile kukatwa na chupa. Jerry, Tinda na wenzao wanatafuta suluhisho. Je, watafanya nini?

    KSh325.00
  • (0)

    Maandazi ya Haiba

    Haiba na marafiki zake wanataka kumnunulia Baraka zawadi anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa. Baraka anaishi na nyanya yake ambaye anaugua. Hata hivyo, kina Haiba hawana pesa za kumnunulia Baraka keki na zawadi nyinginezo. Kwa kuwa likizo imeanza, wanaamua kutafuta njia ya kupata pesa. Je, watatumia mbinu gani? Je, wataweza kupata pesa za kutosha kumnunulia Baraka keki na zawadi nyinginezo?

    KSh275.00
  • (0)

    Miembe ya Ajabu

    Toma ananunua miche ya miembe. Bela hapendi miembe hiyo lakini Toma anaipanda. Toma anatunza miembe yake vizuri lakini miembe haikui. Mama na Baba wanasema miembe hiyo si ya kawaida. Je, ni miembe ya aina gani?

    KSh275.00
  • (0)

    Pango la Ajabu

    Zuheri anaanguka pangoni anapocheza mwajificho na wenzake. Baba anapoingia ndani ya pango kumwokoa, anapata kisanduku. Baadaye inatangazwa redioni kuwa polisi wanatafuta kisanduku kilichopotea. Ndani yake mna vitu vya thamani. Je, wazazi wa Zuheri watakabidhi polisi kisanduku kile?

    KSh275.00
  • (0)

    Maria Taabani

    Maria ana mazoea ya kulala hadi Mama amwamshe. Maria pia husahau kufanya kazi zake za shule hadi Mama amkumbushe. Mama anaenda safari ya mbali. Chacha ambaye ni kakake Maria anataka kumfunza Maria adabu kwa kukosa kumtii. Je, Maria atafanya nini ili asijipate taabani?

    KSh250.00
  • (0)

    Ali Apigania Haki Yake

    Ali, mvulana mwenye umri wa miaka kumi, anatamani kusoma hadi chuo kikuu. Hata hivyo, nyanya yake anamwagiza kumchungia mbuzi badala ya kwenda shuleni. Ali anabuni mbinu za kurejea shuleni na wakati huo huo kuendelea kumsaidia nyanya yake. Je, juhudi zake zitazaa matunda?

    KSh250.00
  • (0)

    Tito Anatamani Kuchora

    Tito hana vidole. Hata hivyo, ana ndoto ya kufanya kazi ya kuchora na kupaka rangi kama wazazi wake. Siku moja, mwalimu anawaambia wachore wanyama wapendao. Je, Tito atawezaje kuchora bila vidole?

    KSh225.00
  • (0)

    Dereva wa gari Jekundu

    Toma na Bella wanataka kwenda shuleni. Wanaona gari jekundu karibu na nyumbani kwao. Dereva wa gari hilo anajitolea kuwapeleka shuleni. Je, dereva ana nia gani? Je, Toma na Bella watakubali awapeleke shuleni?

    KSh225.00
  • (0)

    Curiosity Killed the Cat and Other Stories

    Okudili and Pendo are classmates. Pendo is impatient while Okudili is curious. He likes searching for new information and asking adults questions to stay informed. He seems to have every answer for every question that his peers throw at him until one day when Maria asks him how it feels when one smokes. Okudili does not have an answer. His curiosity and Pendo’s impatience land them in trouble. How will they get out of the mess?

    KSh325.00
  • (0)

    Who is the Champion?

    “I am the champion! Nobody can beat me!” 5 chanted Lisa. She danced down the road holding the silver trophy high in the air. It was as big as her head. And it had her name on it… But there is a catch. Her brother, Jimi, claims the same victory and wants the trophy. Who is the real champion between the two siblings?

    KSh325.00
  • (0)

    Faceless Friends

    Musembei and Diana have made friends on social media but they do not tell their parents or guardians. Some of the friends have profile pictures of famous people they see on TV. After chatting for a while, Musembei and Diana start trusting their new friends who seem to be caring and understanding. The friends even offer to buy them nice things. But there is a catch; they want Musembei and Diana to fulfill a deal before they receive their gifts…

    KSh325.00
  • (0)

    A Gift to Grandfather

    Maya and her brother Kirui visit their grandfather. They find him using a stick cut from a tree branch to support himself. Maya thinks that the stick is too weak but Kirui and grandfather believe that the stick is just okay. Maya is not satisfied. She thinks her grandfather deserves a brand new crutch. How will she raise the money to buy one?

    KSh275.00
  • (0)

    Lela Saves Her Village

    Lela and Adili live in a village surrounded by forests and wild animals. They enjoy watching the butterflies and birds until a rich man visits the village. He wants to turn part of the village and forest into a private property. Everyone is in despair, but Lela and Adili decide to fight for their cause. With the help of their teacher, the children create persuasive messages on the need to protect the forest which they hope will reach the Governor and the President. Just how far can they go?

    KSh275.00