-
-
-
-
(0)By : Joe Mirungu
Kitendawili cha Taji na Hadithi Nyingine
KSh300.00Taji na Zalika ni watoto wanaopenda kutunza mazingira yao na kudadisi mambo. Wanashiriki katika visa tofauti tofauti vya kusisimua vinavyowawezesha kutambua na kujifunza mengi kuhusu wanyama na mimea mbalimbali.
-
(0)By : Elijah Sabakaki
Lela Saves Her Village
KSh275.00Lela and Adili live in a village surrounded by forests and wild animals. They enjoy watching the butterflies and birds until a rich man visits the village. He wants to turn part of the village and forest into a private property. Everyone is in despair, but Lela and Adili decide to fight for their cause. With the help of their teacher, the children create persuasive messages on the need to protect the forest which they hope will reach the Governor and the President. Just how far can they go?
-
(0)By : Emmanuel Munasi
Maandazi ya Haiba
KSh275.00Haiba na marafiki zake wanataka kumnunulia Baraka zawadi anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa. Baraka anaishi na nyanya yake ambaye anaugua. Hata hivyo, kina Haiba hawana pesa za kumnunulia Baraka keki na zawadi nyinginezo. Kwa kuwa likizo imeanza, wanaamua kutafuta njia ya kupata pesa. Je, watatumia mbinu gani? Je, wataweza kupata pesa za kutosha kumnunulia Baraka keki na zawadi nyinginezo?
-
(0)By : Daniel Mwangi
Maria Taabani
KSh250.00Maria ana mazoea ya kulala hadi Mama amwamshe. Maria pia husahau kufanya kazi zake za shule hadi Mama amkumbushe. Mama anaenda safari ya mbali. Chacha ambaye ni kakake Maria anataka kumfunza Maria adabu kwa kukosa kumtii. Je, Maria atafanya nini ili asijipate taabani?
-
(0)By : Ali Attas
Masaibu ya Juma na Bintiheri
KSh325.00Mapumziko ya Agosti yanakaribia. Mwalimu Kibahaluli anawaambia wanafunzi wake kuwa wazazi wao wamewaandalia ziara ya kukata na shoka. Ziara hiyo haitakuwa ya kiburudani tu bali pia itawafaa katika kupata majibu ya chemshabongo atakayowapa. Juma, Bintiheri na wanafunzi wenzao wanasubiri likizo ya Agosti kwa hamu na ghamu. Je, Mwalimu Kibahaluli atawapa chemshabongo gani mara hii? Je, safari hiyo itawapeleka wapi?
-
(0)By : Alex Kinyua
Mashujaa wa Korona
KSh350.00Shule zinapofungwa kwa likizo ndefu kutokana na mlipuko wa Ugonjwa wa Korona, Kasala na wenzake wanaamua kushiriki katika mchezo wa kandanda kwenye uwanja wa kuchezea mtaani. Hata hivyo, uwanja huo unafungwa kuzuia kuenea kwa Ugonjwa wa Korona. Wanaamua kushiriki katika miradi mbalimbali. Shule zinapofunguliwa baada ya chanjo ya Korona kuvumbuliwa, kina Kasala wanapata umaarufu shuleni kutokana na mradi walioanzisha katika msimu wa likizo ndefu ya Korona. Je, ni mradi gani huu ambao umewafanya kutawazwa kama mashujaa?
-
(0)By : Nicholas Ogal
Mashujaa wa Mazingira
KSh325.00Mazingira yamejaa aina mbalimbali za taka. Baadhi ya watu wanapata ajali zinazotokana na taka hizi kama vile kukatwa na chupa. Jerry, Tinda na wenzao wanatafuta suluhisho. Je, watafanya nini?
-
(0)By : Zawadi Namukhula
Miembe ya Ajabu
KSh275.00Toma ananunua miche ya miembe. Bela hapendi miembe hiyo lakini Toma anaipanda. Toma anatunza miembe yake vizuri lakini miembe haikui. Mama na Baba wanasema miembe hiyo si ya kawaida. Je, ni miembe ya aina gani?
-
-
(0)By : Hillary Ihaji
My Secret and Other Stories
KSh300.00Have you ever imagined living in a place where you are not allowed to eat, sleep, play, make friends or go to school? How does it feel to live in such a place? In this collection of short interesting stories, you will interact with children living in such a world and how they feel and cope.
-
(0)By : Magdalyne Shinabuli
Nadia Breaks her Promise
KSh250.00Nadia likes eating. She likes attending birthday parties to eat. Jeff, his elder brother, has been invited to a birthday party. Nadia wants to go with him. Jeff gives her a condition: she should not eat anything until he tells her so. Will Nadia keep the promise?
-
(0)By : Ali Attas
Ndoto za Juma na Bintiheri
KSh300.00Juma na Bintiheri, ambao ni binamu, wanafunga safari ya Mbuga ya Wanyama ya Tsavo West na Mzima Springs pamoja na wazazi wao. Wanayoshuhudia na kujifunza katika ziara hiyo yanachochea ndoto zao kuhusu kutunza mazingira na kuishi vyema na wanyama wa porini. Pia, yanawafunulia kichemshabongo walichopewa shuleni na mwalimu Kibahaluli. Je, watapata majibu sahihi ya kichemshabongo hicho na kuibuka wanafunzi bora shuleni kwa ubunifu? Jiunge na Juma na Bintiheri katika safari hii ya kiuhalisia na kifantasia iliyojaa vitushi, patashika, mafunzo na vichekesho kwa kusoma hadithi hii ya kusisimua.
-
(0)By : Jackson Omondi
Pango la Ajabu
KSh275.00Zuheri anaanguka pangoni anapocheza mwajificho na wenzake. Baba anapoingia ndani ya pango kumwokoa, anapata kisanduku. Baadaye inatangazwa redioni kuwa polisi wanatafuta kisanduku kilichopotea. Ndani yake mna vitu vya thamani. Je, wazazi wa Zuheri watakabidhi polisi kisanduku kile?
















